@kamilusmgaya48065 years agoJamani huyu mkuu wa mkoa tusipo mpa like zake tutakuwa hatumtendei haki tuanze mimi 9
@
@aliarkam14135 years agoHuyu ndio kiongoz ambaye mfano kwa wengine , Hongera sana 92
@
@gelsonyusto77725 years agoAppreciate saana kiongozi mkuu wa mkoa tabora na pia heshima kwako Millard ayo kwa habari zako naelimika kuptia katka vipind vyako pia na burudika salute saana Millard ayo 5
@
@aginiweyessayakyando98555 years agoMzee nampenda sana, hlf huyu mzee anaupendo wa ukweli juu ya watu anaowaongoza. Mungu akubariki sana. 2
@
@anithermsigwa5 years agoKaongea point sana watoto ndo hazina ya muhimu ni wa Jamhuri kweli ayseee👏👏👏👏👏 4
@
@doctorjuniour94595 years agoYAAN HUYU MKUU UTADHANI NDO MKUU WA MIKOA YOTE. Jamaa anatema facts 57
@
@joelsule41115 years agoNadhani tunaweza kumchukulia kama comedian flani hivi! Yuko siriaz na kazi na anamaanisha anachokifanya tena kwa ujumbe wa kirafiki, lkn ni ujumbe unaowalenga wanyonge ambao hawajitambui! Hii kazi hata ustawi wa jamii baadhi yao hawazi kutupatia japo ndo wajibu wao. Hongera sana Mh. Rc Tabora. Kwa maoni yangu wewe ni kiongozi unajitambua na kujua mahitaji ya jamii unayoisimamia. Mungu akulinde wakati unatimiza majukumu yako! ...1
@
@naipendaamaniniliyonayodai63995 years agoNakukubali sana Mzee Mwanri,,endelea kupiga kazi mkuu we admire you sir!! 1
@
@omarjumanne44715 years agoSafi sana mkuu wa mkoa nakuunga mkono chukua hatua wanaume na wanawake pia hawatunzi watoto ni kweri kabisa 7
@
@saumuhassan63655 years agoKabla cjafunga hii taarifa nikiangalia kichwa cha habar tu Nacheka, uyu Baba ni jembe 😂😂😂😂 Hiyo pombe ina darubini??44
@
@magynzioka11225 years ago😂😂😂wakenya tunakupendanga sana tu una chekesha but ni kweli 90
@
@faridamkesso975 years agoSafi sana Mwanri kwa kujali wananchi wako , hongera sana 15
@
@ernestkaria59385 years agoMzee nakuelewaga sana.... Mlevi n kama mshenzi flanii HV. 17
@
@margaretwambete12285 years agoKweli kiongozi.Okoa familia jameni.Asante .Mkenya from london.pongezi. 1
@
@freddymello32275 years agoHuyu ni Mwalimu wa maisha zaidi ya kuwa mkuu wa mkoa.anachoongea ni zaidi ya elimu kwa familia wengi tunakosea! binafsi nashukuru kwa elimu hii uliyonipa mheshimiwa Mwanri. 3
@
@faridahhamza87045 years agoDahhh yaan mkuu itabidi nihame tanga nije tabora kuanzisha makazi kwa ajili ya kasi yko ya maendeleo nimeipenda sana 3
@
@emmanuelmoses83405 years agoNampenda san,mkuu wa mkoa wa TABORA kwa sabau ana wafanya watu kuwa ACTIVE WAKATI WOTE Aa namkubal san piga kaz mzee 1
@
@ibrahimkhatibu45615 years agoHiki kipande cha mama unafungua au ni ingie nao nan anipe jamani😂😂😂😂😂😂 5
@
@AbdullaAbdulla-pw5nd4 years agoWw Mzee unayoongea yote mazima halafu ulivokiongozi mzuri 💯💯 huongelei siasa zile zakichama wewe unaonelea siasa ya kuielewesha jamii
@
@habibalkindy28115 years agonakukubali sana mkuu wangu was mkoa natamani uongoze tabora miaka 800000000000000 5
@
@badmanno.16505 years agoPombe yenye darubini..walevi hawana maana kaabisa..nashangaa serikali zetu zimengangania bangi tu..Mwanri for president 4
@maxmilianjoseph80655 years agoUteuzi wako umetukuka baba...Maneno yako ni hazina kubwa sana kwa atakayeyatafakari na kuyafanyia kazi...Mungu akubariki 2
@
@liobajoseph82555 years ago😂😂😂mwanri mbavu zangu, we ni kiongozi safi Sana, maendeleo ya taifa yanaanzia ngazi ya familia 11
@
@mbodzebemasika74775 years ago😅😅😅😅duh lakini huyu baba ni mwema..tutako twa watt inje inje😭😭😭 11
@
@kizitokasulamo91675 years agoMke wa mganga ni mnene utafikili behewa 😂😂😂😂😂😂 5
@
@m.amanitv85345 years agoDuh Tabora mmepata kitu na Box Nawaonea wivu 14
@
@vitalesmgenge69845 years agoMama Ana mlango unafungua au niingie nao? Pombe hio 25
@
@Ba638285 years agoUNAONGEA BUSARA SANA I LOVE YOUR INTERACTION WITH THE PEOPLE JAMII IKUZDISHIE
@
@hechihechie55585 years agoYaani sijui huyu baba alikuwa wapi!!!asante Mh raisi kumteua huyu !!!anasema u kweli japo anatuchekesha,Mungu akubariki sanaaaaaaa!!!
@
@michaelmuriithi68085 years agoMheshimiwa RC..karibu Kiambu, Kenya...hapa wanatoa lock asubuhi..ndo aweze kuona ( sic!)..ulevi ni ushenzi. 1
@
@magehkihwele82745 years agoHahah kwenye kuingia na mlango hapo baba Anna acha t niamke nkufungulie😂😂😂😂 2
@
@emmanuelgabagendi45155 years agoKikwel mm nakupenda sana mze safi sana kanzi njema 1
@
@goodluckymanjala50625 years agoMke wa mganga wa kienyeji ni mnene kama behewa kuku mchezo? 20
@noelbryson78405 years agoWalevi ni washenziii ( Hapa nakuunga mkono)..😂😂 2
@
@phoebemmanga2995 years agoMkuu una Kipaji cha UONGOZI. Hongera sana.
@
@annachristopherokeno93875 years agoAsante baba pigs kazi shuka nao Moja kwa moja
@
@drjoshuamadundo89535 years agoKiukwel huwa navutiwa sana na huyuu kiongoz 7
@
@emanuelmwakarata97215 years agoInjinia soma iyo safi sana uko vizuri mzee
@
@asegelilemwambapa59765 years agoNakufaaa. Kufaa Hahahahaha tabora yetu ya Toronto. Big up
@
@rosekimario82595 years agoDaaah kweli huongei uwongo ni kweli kabisa hasa rombo ulevi umekithiri na hakuna kinachoendelea
@
@frankmulunguTz5 years agoMzee wa sukuma ndaniiii,somaa hiyoooooooo Tisha Sana RC
@
@silverjoseph45775 years agoBig up Sana unajua kunifanya nicheke niwapo na hasira
@
@deogratiusdominick38845 years agoUyu mzeee namkubali sana like nying kwako
@
@Ambweneonlinetv5 years agosomaaaaaaa hiyoooooo 😂😂😂😂😂 12
@
@bensonndendya95565 years agoMama ana huu mlango unafungua au niingie nao 1
@
@catherineriwa64885 years agohahahhahahahaha🤣🤣🤣🤣aiseenomna Sana mke WA mganga mnene Kama behewa 2
@
@josephmakyao10955 years agoMkuu unanipa matumaini ya uongozi bora ktk nchi hii mm naomba mkuu wa nchi akupeleke tamisemi ili hzo juhud uzifanye nchi nzima mungu akubariki sana
@
@iddirashid80385 years agohahhahaha et mlango utafungua au niingie nao😃😃😃😃😃😃 11
@
@iffahbahet14995 years agoMama ana huu mlango utafungua au niingie nao 2
@
@jumanguya91165 years agoWeee weeee Weee Nyamaza kabisa hahahahaaaaaaaa watoto wajamhur 1
@
@banshbansh23295 years agokweli kabisa tabora na mwanza waongoza kwa ulevi hawajali familia zao alafu wakorofi sana 1
@
@bashiryusuph67504 years agodaaah mzee agree tutakuona wp tenaaa aaah sukumandani
@
@amourjustine9255 years agoHuyu ndio mwanry bhana na mpya ya 2019 1
@
@adamalibhai49215 years agoAggrey ameongea ukweli halisi kabisa wa tanzania 3
@
@kimbokageorge26465 years agoWachagga wajanja Tanzania 1.Rc Aggrey mwanri mushi kimboka 1
@
@neema.shaoshao13615 years agoUnanifuraisha sana maana unaweka msisitizo asiye kuelewa sukuma ndani 8
@
@felixkamkala33035 years agoNinakukubari sana mzee kwakweli Ongera ninatamani na mimi niwe kama Kiongozi kama wew aisee safi sana
@
@Crownvalz5 years agoKama naiona nyimbo itakayotoka kwenye hii video...😂😂😂 5
@
@mayungamalegi8345 years agoHuyu jamaa namkubali sana tunaweza tukapikwa chungu kimoja tukaiva
@
@lawmaina785 years agoHahaha huyu lazima alipitia matatizo sana zama zile, yaani anajua kila kitu. 9
@
@dianamadege17035 years agoAmeongea point sana walevi kweli ni washenziiii
@
@cadoozrhizomes33935 years agoDuh hio last statement" mnenene kama behewa" 😂😂😂😂😂😂
@
@valentinamussa42125 years agoUrevi ni adui wa maendeleo,jamani shenzi kabisa walevi 2
@
@youngchuda15682 years agoDaaaah nchi imekosa furaha inateseeka na tozo watu kama hawa saiz hawapo 1
@
@innomallya87415 years agoumeongea point mzee. pombe inamaliza matatizo kwa mda tu, ukiamka j tatu unakuta majukumu yapo palepale yanakusubiri
@
@samsonjoseph73205 years agoTabia ya pombe ni kuahirisha matatizo yako Kwa muda. Mlevi ni mshenzi na mshenzi ni mtu yeyote ambae si msitaarabu. 1
@
@ablysonco88505 years agoAngekaa T.R.A...kma kiongoz Mkuu...Ingekuwa saf sana...hak ingeonekana...
Related videos for RC Mwanri aanzisha vita na Walevi Pombe ina darubini, ulevi ulipojenga nchi:
Hiyo pombe ina darubini?? 44
Mlevi n kama mshenzi flanii HV. 17
binafsi nashukuru kwa elimu hii uliyonipa mheshimiwa Mwanri. 3
Aa namkubal san piga kaz mzee 1
Wee, wee, wee, nyamaza kabisaaa usiniambie maneno hayo😂😂😂 2
Nyamaza kabisa hahahahaaaaaaaa watoto wajamhur 1
1.Rc Aggrey mwanri
mushi kimboka 1