@mikemuchene20453 years agoYou are a blessing to your children yours or not yours. God bless mzee abdul. 1
@
@iam-joebwirekenya20703 years agoDiamond atakuja juta! Vitu hivi ni vyatu. Wangapi wanakubali? Give it a like if you agree. 39
@
@jacklineamisi7632 years agoThis guy is a gentle man he is so kind and humble. May god bless him.
@
@saidfhamad3 years agoHuyu mzee anaongea kama diamond kabisa pia mimi naona kama wanafanana vilee! 94
@
@wardaibrahim82083 years agoPapa u have gold heart mashaallah tena una imani allah hakupe long life. 24
@
@cabitotoke41613 years agoMzee mungu nawe kila wakati from kenya. 11
@
@shabanikamsawa1813 years agoAnaongea kiume na kibusara sana na ndiyo maana wachawi wengi ni wanawake maana ndiyo wanao ongoza kwa roho mbaya na kupandikiza chuki huwa hawa semi mabaya. ...Expand
@
@roselynestua70953 years agoMungu amubariki diamond kwale amefanya mungu asiti kumwinuwa mimi ni mukenya. 1
@
@saidalguhum19963 years agoMzee abdul wallahi wewe ni mtu mbele yawatu una busara sana na subra kweli juu ya yote anayo kufanyia mwanao daimond lakini bado wampenda na hujamsema. ...Expand16
@
@aamrchoabula82262 years agoKirakitu kinakuwa kwenyemupango wamungu kwahio usijali 1day mungu atakulipilia from south african. 1
@
@ummyremmy17973 years agoMwenye amegundua kua mzee abdul anaongea kwa uchungu ila anajikaza tu. Gonga like twende sote. 22
@
@salamanauthartanzania63013 years agoUnazo busara nyingi sana mzee abdul allah akujaze kheri na baraka nyingi. 3
@
@boionemkenyaofficial88223 years agoJamanie huyu mzee ni mzuri sana tena mwenywe na heshima kweli nampenda sana huyu mzee mungu atakupa tuu papa. 56
@
@videlialabeka48993 years agoMzee kubali the diamond ana maishaakupee kila kitu. Shukuru tu.
@
@marywanyika26583 years agoMzee abdul ana roho nzuri sana mungu ampe uhai na blessings. 1
@
@khadijacastro28513 years agoHyu mzee nampendagha sana anabusara sana mawaidha mzuri. 1
@
@personcriticalthinking71623 years agoAsante sana diamond ubarikiwe sana. Sasa nimekupenda kabisaa bila doubt. 2
@
@habibamahamed55873 years agoMungu akuweke na akuzidishie lmani jamani mzee abduli inshallah. 11
@
@swahumathumani26363 years agoMungu akupe kila lenye kheri ipo siku ya taisha inshallah. 1
@
@jayvan23903 years agoMzee anapenda kujishusha sana " nimependa sana" 17
@
@salumlibaba95003 years agoKm umesikia ss ndio wanyamwezi wakanza gonga like hp 13
@
@hadijagunda91133 years agoMzee huyo mwanao bana anakufanana mno yani copy yako kabisa hiyo nasebu ni wako. 33
@
@shaibushaibu19502 years agoKila kitu myangulize mungu hatajibu mzee hata hivo nakupongeza huwa humejireza vizur na unaenderea vema.
@
@laymashabani8323 years agoMwenyezi mungu atakufanyia wepesi baba. 6
@
@edge60162 years agoMzee abdul muogope allah kuva chain kwa shinzo kwa mwanaume ni haramu allah akuongoze.
@
@elishasamson773 years agoUbarikiwe mzee kumsamehe mwanao kesho cyo leo na leo cyo kesho.
@
@raydhanselemanseleman84393 years agoDaah mzee diamond ni mwanao kabisa maana mna fanana sana. 2
@
@hellacredis55553 years agoNampenda sanatokea kama yeye, tangia nimjue huyu babu tifa sijawahi. 1
@
@danneismail54423 years agoMshaanza tena kumsumbua huyu mzee na stress za mtoto atulie 23
@
@sakinaabdallah77133 years agoAmin ishaallah diamond atakurudia ishaallah. 6
@
@naimafaiz52743 years agoMungu akupa subar kuna siku yatakwisha from kenya. 66
@
@D-Man.B-Free3 years agoDah, nimemuelewa kinoma kuhusu ukukaa na wazazi lazma usafiri mbali afu ukirudi. 6
@
@victoriadaizy52773 years agoK mziwanda you never disappoint ulisema lazima nayonayo.
@
@kadulathumani75172 years agoMzee abdul utakuwa mfano mkubwa kwa wazazi na watoto. You are very humble. Mmungu akupe umri mrefu na subira zaidi. Mali tutaziacha hapa lakini amali njema ndio za maisha ya baadae.
@
@damianjeremia38213 years agoMbona sauti na ongea ni diamond kabisa kuna nini hapo. 20
@
@giftmsokele97763 years agoEti watoto wengine wakike wakomonisti mzee huyu bhana.
@
@ningekuwambunge8203 years agoMungu akusimamie mzee wetu. Malipo yako mwenyezi munguila ongea ya huyu mzee na ya diamond ni copy! Kuna uwezekano mama alipagawa tu na mali lkn ninaendelea kuamini huyu ni baba mzazi wa diamond. 2
@
@beedward51333 years agoDa, hata kama huna macho, huwez ata kupapasa ukajua huyu ni mzee wake mond kwel! 6
@
@ismailmenza67052 years agoMzee anabusara sana chamsingi nasbu ajue baba atabaki kuwa baba pesa isimfanye akufuru wazazi.
@
@stanlaymsabaha40383 years agoKama umesikia mtu mlezi gonga like twende sawa. 8
@
@marinojenaro70453 years agoMm nadhan siku za, mwisho zinakaribia eeh mungu tunusuru wanao haiwezekani mtoto amkatae inauma sana mzee anafanana sana na. Mond baba mungu akupe wepec na uvumilivu dunia itawafundish siku ataukuja kukupgia goti.
@
@starfordalex41393 years agoHuyu ndiyo baba diamond hata akimkataa haisaidii. Wanafanana saana. 2
@
@carolinemusimbi92323 years agoHuyu mzee ni mzuri saa nyingine wanamchemsha tu.
@
@tatuhamza91873 years agoHuy ni mwanae kabsa wamefanana sanaa unajua.
@
@lucksonemmanuel70393 years agoMzee ana madini sana busara ni zaidi ya mali ishi sana mzee.
@
@jeromekanyoro98003 years agoMungu atuweke siku nyingi, tuwatunze wazazi wetu. 2
@
@suleimanjokoro3 years agoPesa haiwezi kununua kila kitu! Hilo lifahamike) 6
@
@ramadhanjuma10773 years agoDiamond na huyu mzee abdur ni damu moja.
@
@iddibakari23543 years agoDiamond, now you are grown-up. Huyu ndio baba yako. Whatever be, hata kama kasoro za wazazi ni kawaida kwani ndio mwanzo wa maisha bora! Hata kama mama. ...Expand
@
@miriammutuku50593 years agoBaba usife moyo mungu yu nawe, yaani nimelia tuu kunaye mungu aliye hai, malipo ni hapa tuu. 2
@
@juliusmwinga40513 years agoMzee amejaa busara na nitajiri wa roho safi. mungu akubariki sana.
@
@isackpaul85363 years agoHakika wanaume wengi tuna maamuzi ya busara hususani kwa swala zima la kuwa na subra, huyu mzee ana ushauri mzuri kwa diamond hususani nyakati kama hizi za ushindani wa kimziki. Big up sana mzee. 23
@
@husseintv18403 years agoMzee nakupnda sana uko n hofu ya mungu. 17
@
@bakarimpilipili88763 years agoSo sad father but i love your wisdom gonna pay u. 1
@
@d.a.t33833 years agoWell said mzee mali inabaki watu wayeyaa. 1
@
@faizahkewush88313 years agoMzee wasema kweli, hio bykoko bado yavunja record. 1
@
@eppiemodest3 years agoAna busara sana mzee abdul. Mama dangote ndiye kavuruga yote hayo mpaka familia. 8
@
@agnesmwikali5393 years agoHuyu mzae anafanana na diamond kabisa, nikiwa diamond nikujifanyiza dna. Na huyu mzae. 1
@
@julianapetro38972 years agoAfuu huyu baba ni kichwa anaakili sana.
@
@sammaisak75033 years agoHilo komo kama la dai na mashavu ya kutumbukia ni diamond kabisaa. Huyo nyange maybe wanahusiana lakini huyu ndio baba. 8
@
@sadamwaka64603 years agoHuyu mzee ni mwanaume na nusu aiseee. Ana roho nzuri sana. Pia ana akili sana. Mungu azidi kumpa ujasiri.
@
@wanjirujane58242 years agoDamondi ataafanyeje uyo ndobabake mzazi mwenyewe.
Related videos for DIAMOND AMKABIDHI PESA MZEE ABDULL / UG0MVI PEMBENI KWANZA:
ipo siku ya taisha inshallah. 1
hata kama huna macho,
huwez ata kupapasa ukajua huyu ni mzee wake mond kwel! 6
mungu akubariki sana.
but i love your wisdom gonna pay u. 1