Duration 7:43

Kala Jeremiah, Roma, Fid Q na Izzo Bizness Wanapoijadili Siasa

115 963 watched
0
335
Published 3 Sep 2013

Ni mara chache kujua wasanii wana msimamo gani linapokuja suala la muziki na siasa. Wakiwa Kigoma katika Kili Music Tour, wakali wa Hip Hop Kala Jeremiah, Roma, Fid Q na Izzo Bizness walipata nafasi ya kujadili wanavyoichukulia siasa na muziki wa Hip Hop hasa tofauti ya mwanaharakati na mwanasiasa.

Category

Show more

Comments - 9