Duration 16:57

Yanga SC 1-3 Express FC | Highlights | Kagame Cup

64 108 watched
0
176
Published 7 Aug 2021

YANGA VS EXPRESS: Yanga SC wametupwa nje ya mashindano ya Kombe la Kagame #CecafaKagameCup2021 baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Express ya Uganda katika mchezo wa mwisho wa Kundi A uliochezwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Express yamefungwa na Godfrey Lwesibawa, Muzamiru Mutyaba na Erick Kenzo Kambale huku goli la Yanga likifungwa na Paul Godfrey. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

Category

Show more

Comments - 67