Duration 2:28

APIGISHWA KICHURA SIJAWAHI KUONA SIMBA NA YANGA TOKA NIMEZALIWA 1974

55 767 watched
0
253
Published 25 Jul 2021

Leo Simba na Yanga fainali uwanja wa Lake Tanganyika mashabiki wajitokeza wengi wao hawakuwahi kuona Simba na Yanga wakicheza Kigoma.

Category

Show more

Comments - 103
  • @
    @masakimasaki993 years ago Nimemhurumia sana huyo jamaa. Yaani natamani kupata habari kwamba alifanikiwa kuingia uwanjani. Very emotional. 7
  • @
    @zuberikamote20783 years ago 1974 mbna kachakaa hv mmmh Maisha magumu kweli mama Samia punguza tozo za miamala 6
  • @
    @iddykivu13363 years ago Huuu ni Upuuzi sana Utaratibu Mbovu sana 10
  • @
    @yohanakananika35863 years ago Kama umesikia mzee anasema hajawahi kuona dadi like hapa 7
  • @
    @musafrancis35843 years ago Mm ni shabiki wa yanga lkn nimempenda hyu mzee bure anavyojibu maswali 8
  • @
    @mustafamgeni4203 years ago Mapenzi haya tungekuwa tunayaonyesha kwenye ibada zetu miskitini na makanisani ninauhakika hata Corona mungu angeiweka mbali nasi,Mungu wetu tusamehe sisi waja wako,yote haya kwakuwa hatuijui kesho yetu. 5
  • @
    @mursallusinde91893 years ago Kigoma wajitahidi wapandishe timu ligi kuu ili burudani kma hizi ziendeleee kuonekana kigoma 1
  • @
    @naimunaimu23123 years ago We baba ujue watoto wako wanakuona hapo hadi huruma 3
  • @
    @aminatanzanya74753 years ago Aisee nataman nione huyu bb akiw uwanjan 2
  • @
    @mohamedhaidar80403 years ago Ndg mtangazaji hayo maswali unasoma au?
  • @
    @stanastana31993 years ago Tanzania watu wanapenda mpira sana duuh
  • @
    @benjaminulanga67493 years ago Hii ndo dady yangu ya kwanza aliyesikia dady katajwa hapa tulike basi ata 50 dah 1
  • @
    @minskbelarus72553 years ago Inna lillahi wa illaihi raajiuun Dunia imefika mahala pazuri sana. Kuna WATU, hiyo saa KUMI usiku wapo MSIKITINI. 1
  • @
    @malataogtz20803 years ago Toka nmezaliwa ndiyo dadi ya kwanza kuiona wasikivu kama mm twende kaz 7
  • @
    @hkk24503 years ago Huyu kweli kazaliwa 74? Ana miaka 46 kweli 3
  • @
    @cheiknamouna20583 years ago Mateso bila chuki pesa yako mwenyewe bado inakutesa si ukachemshe supu unywe hayo matokeo utaskilizia kwa jirani
  • @
    @ilovejesus6663 years ago Yn watu wa kigoma wamekaakaa tu awaeleweki 1
  • @
    @controlTheoryChamps3 years ago Kwanini mnamwita mzee wakati hata miaka 50 hajafika? 2
  • @
    @fadhilikangusi3 years ago Toka nazaliwa ndio dady ya kwanza kuiona.
  • @
    @nyarinkya61023 years ago 1974 sio kweli, huyu kama kachelewa sana kuzaliwa 1970
  • @
    @davidbahati83273 years ago Mzee wetu tokea amezaliwa ndo dad yake ya kwanza kuiona live
  • @
    @imanijohn60693 years ago Dah, unatoa pesa lakini bado una teseka. 1
  • @
    @abdoulrahimmigomba38853 years ago Huyu mzee amemaanisha kua swala ya Alfajir imempita, adhuhur pia ishampita, Alasiri itampita, Magharibi pia itampita na bila shaka hata Ishaa itamshinda pia.
    Subhanallah.
    1
  • @
    @mussanganda5053 years ago Kumbe watu wanapenda mpira kuliko kuogopa cvd19 wameshonana mpaka,kesho utasikia oo muhimbili vyombo vya kupumlia vimepungua
  • @
    @iddihamisi63203 years ago Sisi watu wamikoani ndio tunauwezo wa kukaa kuanzia saa 10 alfajili mpaka saa 8 mchana huku tukiwa hatusisinzi sisi sio wanaume wa dar hasa huko kwenu kinondoni 🤣🤣
  • @
    @masakimasaki993 years ago Nimemhurumia sana huyo jamaa. Yaani natamani kupata habari kwamba alifanikiwa kuingia uwanjani. Very emotional. 7
  • @
    @zuberikamote20783 years ago 1974 mbna kachakaa hv mmmh Maisha magumu kweli mama Samia punguza tozo za miamala 6
  • @
    @iddykivu13363 years ago Huuu ni Upuuzi sana Utaratibu Mbovu sana 10
  • @
    @yohanakananika35863 years ago Kama umesikia mzee anasema hajawahi kuona dadi like hapa 7
  • @
    @musafrancis35843 years ago Mm ni shabiki wa yanga lkn nimempenda hyu mzee bure anavyojibu maswali 8
  • @
    @mustafamgeni4203 years ago Mapenzi haya tungekuwa tunayaonyesha kwenye ibada zetu miskitini na makanisani ninauhakika hata Corona mungu angeiweka mbali nasi,Mungu wetu tusamehe sisi waja wako,yote haya kwakuwa hatuijui kesho yetu. 5
  • @
    @mursallusinde91893 years ago Kigoma wajitahidi wapandishe timu ligi kuu ili burudani kma hizi ziendeleee kuonekana kigoma 1
  • @
    @naimunaimu23123 years ago We baba ujue watoto wako wanakuona hapo hadi huruma 3
  • @
    @aminatanzanya74753 years ago Aisee nataman nione huyu bb akiw uwanjan 2
  • @
    @mohamedhaidar80403 years ago Ndg mtangazaji hayo maswali unasoma au?
  • @
    @stanastana31993 years ago Tanzania watu wanapenda mpira sana duuh
  • @
    @benjaminulanga67493 years ago Hii ndo dady yangu ya kwanza aliyesikia dady katajwa hapa tulike basi ata 50 dah 1
  • @
    @minskbelarus72553 years ago Inna lillahi wa illaihi raajiuun Dunia imefika mahala pazuri sana. Kuna WATU, hiyo saa KUMI usiku wapo MSIKITINI. 1
  • @
    @malataogtz20803 years ago Toka nmezaliwa ndiyo dadi ya kwanza kuiona wasikivu kama mm twende kaz 7
  • @
    @hkk24503 years ago Huyu kweli kazaliwa 74? Ana miaka 46 kweli 3
  • @
    @cheiknamouna20583 years ago Mateso bila chuki pesa yako mwenyewe bado inakutesa si ukachemshe supu unywe hayo matokeo utaskilizia kwa jirani
  • @
    @ilovejesus6663 years ago Yn watu wa kigoma wamekaakaa tu awaeleweki 1
  • @
    @controlTheoryChamps3 years ago Kwanini mnamwita mzee wakati hata miaka 50 hajafika? 2
  • @
    @fadhilikangusi3 years ago Toka nazaliwa ndio dady ya kwanza kuiona.
  • @
    @nyarinkya61023 years ago 1974 sio kweli, huyu kama kachelewa sana kuzaliwa 1970
  • @
    @davidbahati83273 years ago Mzee wetu tokea amezaliwa ndo dad yake ya kwanza kuiona live
  • @
    @imanijohn60693 years ago Dah, unatoa pesa lakini bado una teseka. 1
  • @
    @abdoulrahimmigomba38853 years ago Huyu mzee amemaanisha kua swala ya Alfajir imempita, adhuhur pia ishampita, Alasiri itampita, Magharibi pia itampita na bila shaka hata Ishaa itamshinda pia.
    Subhanallah.
    1
  • @
    @mussanganda5053 years ago Kumbe watu wanapenda mpira kuliko kuogopa cvd19 wameshonana mpaka,kesho utasikia oo muhimbili vyombo vya kupumlia vimepungua
  • @
    @iddihamisi63203 years ago Sisi watu wamikoani ndio tunauwezo wa kukaa kuanzia saa 10 alfajili mpaka saa 8 mchana huku tukiwa hatusisinzi sisi sio wanaume wa dar hasa huko kwenu kinondoni 🤣🤣