BURIANI RAIS MAGUFULI KWAHERI SHUJAA WA AFRIKA RAIS MAGUFULI
Song
Kwaheri Shujaa wa Afrika Rais Magufuli
Artist
Eliza Band
Album
OMKAYA
Licensed to YouTube by
Believe A. (on behalf of Elizabeth Maliganya)
Audio Bujiku Studio
DOYER VIDEO PRODUCTION - +255767391937
Category
Show more
Comments - 83
@
@Crabtree18442 years agoWenye waliomuua Magufuli msipate wema hata siku moja na pia watoto wenu.
@
@mabinamsoja4849last yearManjozi makubwa kumpoteza shujaa wetu magufuli
@
@jumamavind77133 years agoHakika tumepoteza hatutapata Raisi kama Magufuli
@
@nasrahassan73462 years agoDah nikiusikia huu wimbo dah machonzi hunitoka R.I.P JPM
@
@felicianholle30103 years agoTupeaneni pole watanzania kwa kuondokewa na shujaa wa Afrika na mtetezi wa wanyonge na mtu mwenye ndoto ya maendeleo katika nchi yake tuzidi kumwombea kwa Mungu pumziko la milele 5
@
@jenyyusuph49733 years ago😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 SIJUI furaha yetu it arudi kutoka upande upi 2
@
@jenyyusuph49733 years agoDaah unajua bado na tafakari tangu siku Ile uliyo NIAMBIA tutakoma😭😭😭😭😭😭😭 2
@
@faustinemavere14503 years agoKweli Mungu peke yake ndiye atakae tusimamia wa tz hatukufuru ila mioyo imeumia kuondokewa na mpenda wanyonge lala mahali pema peponi Ameen 2
@
@babahamrathy...74233 years agoRest in paradise jpm kifo hakina huruma nalia kila nisikiapo wimbo huu 3
@
@wilsonfbipolice9113 years agoFrom USA🇺🇸🛫🗽🏰Kijana wakingomani nakulilia ntaendelea kumkumbuka Ayati JPM Apumzike kwa Amani. Mbarikiwe kwa kumhimbia shujaa 6
@
@machelaonline69023 years agoPole sana Sister Eliza Msiba wetu sote Ni Msiba wa Kitaifa Ni msiba wa Africa. 5
@
@felisterlucas48373 years agoRaha ya milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani 9
@
@jenyyusuph49733 years agoHii ndoto hatujawahi kuteshwa maisha yetu duuh mungu akatishe ndoto hii maana inatisha EE MUNGU SHUKA EE MUNGU TU NAOMBA RAIS KAMA MAGUFULI MUNGU WW NDIO UNAJUA KIASI CHA MAUMIVU YA MIOYO YETU😭😭😭😭😭😭 2
@
@emmanuelmabula23503 years agoAminaa Dada yangu Elizaberth!inasikitisha!Hongera/ahsante kwa kumuenzi shujaa wetu! 6
@
@iddydaruwesh8650last yearNI KWELI KABISA ULIONA MBALI MZEE MAGUFULI DAA ULIJUWA LAKINI UKASEMA BORA LIWE NAFANYA KWA AJILI YA WATANZANIA WANYONGE. KIFO HAKINA HURUMA REST IN PEACE JPM MWANAWANE WA UKHAYA
@
@veryfridackzm84933 years ago😭😭 jamani Baba yetu apumzike kwa amani 6
@
@yusuphmalongo7063 years agoRara sarama shujaa wetu ama kweri kizur hakidumu 2
@
@dayanapastor23223 years agoYour not only Tanzanian stronger But the whole East Africa 😭😭😭😭 rest in peace🙏🙏🙏🙏 10
@
@dottomakanyanga52143 years agoHongera Elizabeth bendi Mwanga wa milele umwangazie eee bwana kwaheri Magufuli 2
@
@sabrinagerady2973 years agoMingu alitwaa mung ametwaa jina lake lihimidiwe AMENI 1
@
@mariamramadhan4943 years ago😭😭😭😭 uli sacrifice maisha yako kwa watanzania nenda magufuli imekua mapema Sana tulikua bado tunakuhitaj 3
@
@mwanaidik53873 years agoUhuuuuuuu dah tunalia kweli jamani dah 2
@
@irenegesare96293 years agoOoh noo 😭😭😭Rest in peace president John Pombe magufuli 5
@
@jumamavind77133 years agoE mungu fanya miujiza, utuletee Magufuli mwingine mwenye uwezo kama huyu wakuondoa kila kuliko baya
@
@queenkkd81213 years agoIt's so touching song . Ulale salam baba magufuli. 😢🙏🙏😭😭😢 3
@
@burkardkayombo46083 years agoRais Maguful sehemu yako umefanya, mengi watasema lakini Mungu na Watanzania tupo pamoja nawe. Ameni. 5
@
@MariaAlfred-iw9yl8 months agoBado namkubal san huyu mwamba endlea kupmzka bab angu
@
@officalmsafijunior10313 years agoKwaheri SHUJAA wetu tutakutana PARADISO 4
@
@samuelkalisya45933 years agoLord here the prayers of your children 6
@
@cyprianmachibula71222 years agoMAYU TUNAYAKUMBUKA YOTE. MAMA AJISIMAMIE TU
@
@kudisalashija98233 years agoHakika ameacha alama kubwa kwa taifa na mioyoni mwa watu. Kazi ya Mungu haina makosa bali hutwaa viumbe wake apendavyo. Tuliobakia hatuna budi kuendelea kumuombea na tushikamane 1
@
@estabuluna6013 years agoRest in peace president magu M/Mungu akupe pumziko la milele
@
@josephatkiliko25463 years agoRest in peace my late president John Pombe Joseph Magufuli 1
@
@kimolankenyenge71583 years agoDaaah!! watanzania tumepata pigo kubwa sana kumpoteza rais wetu mpendwa jpm lakin yote hayo ni kusudi la mungu kwan yeye ndye muweza wa yote hapa dunia ila tumuombee baba yetu shujaa wetu , mpganaji wetu, mzalendo wetu ,mpenda watu wetu, shujaa wetu,kamanda wetu, asiye na ubaguz kwa jamii ya ndan na nje ya nchi aende salama huko alikoitwa na muumba wa wote kwa hatuna budi kusema RIP Rais wa africa by king msukuma but welcome too all south africa ...1
@
@bashimbechikos63793 years agoTutamukumbuko sote kwa matendo yake même 3
@
@hypoliteminani44093 years agoHuyuerizabeteanaimbanyimbokamahikwaraisiwaburundisikuanafarikidunianinkurunzizatunarianamacozimengi😂😂😂😂😂😂 2
Related videos for Eliza Band - Kwaheri Shujaa Wa Afrika Rais Magufuli - (Official Music Video):
Mbarikiwe kwa kumhimbia shujaa 6
Msiba wetu sote
Ni Msiba wa Kitaifa
Ni msiba wa Africa. 5